Wednesday, July 9, 2014

SIMBA IMEANZA MAZOEZI



Katibu mkuu wa shirikisho la ngumi za ridhaa nchini BFT, MAKORE MASHANGA ametoa wito kwa wadau wa michezo kuisadia timu ya taifa ya ngumi  iliyopo kambini  KIBAHA  kujiandaa na mashindano ya JUMUIYA ya MADOLA yanayotarajiwa kuanza JULY 23 jijini GLASSGOW, SCONTLAND.
MASHANGA amesema wadau wengi wa michezo hujitokeza kupongeza timu wakati inaporejea kutoka kwenye michezo kwa kutafuta sifa na kuzisahau timu hizo wakati wa maadalizi yake.
Timu ya taifa ya ngumi  imeweka kambi KIBAHA na inanolewa na makocha HASSAN MZONGE na JONATHAN MWAKIPESILE baada kumaliza kambi ya mazoezi nchini CHINA na UTURUKI.
=====
Mkoa wa kimichezo wa TEMEKE umeandaa mashindano ya ngumi ya kimataifa yatakayoshirikisha  mabondia  kutoka nchi za ZAMBIA, KENYA na UGANDA,mashindano hayo yatafanyika mwezi SEPTEMBA jijini DSM.
Mwenyekiti wa chama cha ngumi mkoa wa kimichezo wa TEMEKE, SAID OMAR maarufu GOGO POA  na kocha wa ngumi kutoka Kenya , MUSSA BENJAMIN wamesema mashindano hayo yanalenga kuimarisha mchezo huo kwa nchi za Afrika mashariki.
Nao mabondia JOHN DAUDI na ALLEN FLEURY wamejigamba kufanya vyema katika mashindano hayo.
====


KLABU ya simba ya jijini DSM imeanza mazoezi yake leo katika GYM iliyoko TEMEKE jijini DSM.
Ofisa Habari wa SIMBA ,ASHA MUHAJI amsema kuwa wamejipanga kuhakikisha wanafanya vizuri katika msimu ujao ligi kuu ya VODACOM Tanzania Bara.PAUSE
kocha wa  simba  ZDRAVKO LOGARUSIC inatarajiwa kutua nchini siku ya ijumaa tayari kujiunga na timu hiyo kwa maandalizi ya msimu ujao wa ligi.
====

KIINGILIO MECHI YA TAIFA STARS, MSUMBIJI 7,000/-

KIINGILIO MECHI YA TAIFA STARS, MSUMBIJI 7,000/-
Kiingilio cha chini cha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Msumbiji (Mambas) itakayochezwa Julai 20 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kitakuwa sh. 7,000.

Tiketi zinapatikana kwa mfumo wa elektroniki kupitia M-PESA. Kiingilio hicho kwa ajili ya viti vya rangi ya rangi ya chungwa, kijani na bluu. Viingilio katika maeneo mengine vitatangazwa baadaye.

Mshabiki ili apate tiketi anatakiwa kutumia M-PESA kwa kupiga *150*00# kisha bonyeza 4, ingiza namba ya kampuni 173399 kisha weka 7000 kwenye namba ya kumbukumbu ya malipo, na weka 7000 kama kiasi cha bei ya tiketi na mwisho weka namba yao ya siri.

Baada ya hapo utapokea ujumbe wenye orodha ya vituo vya MaxMalipo kwa ajili ya kuchukulia tiketi ukiwa na namba ya uhakiki wa malipo yako.

Vituo vya kuchukulia tiketi ni mgahawa wa Steers uliopo mtaa wa Samora/Ohio, maduka makubwa ya Uchumi Supermarket (Quality Centre, Tabata Segerea na kituo cha daladala Makumbusho), Sheer Illutions (Millennium Tower na Mlimani City), maduka makubwa ya TSN Supermarket (City Centre, Kibo Tegeta na Upanga).

Vodashop (Ubungo na Mill Pamba), Shop Mwenge (Born to Shine), Puma Petrol Station (Mwenge na Uwanja wa Ndege), Engen Petrol Station (Mbezi Beach), Big Bon Petrol Station (Kariakoo, Sinza Mori, Mbagala na Temeke), YMCA (Posta Mpya), City Sports Lounge (Posta), Uwanja wa Taifa) na ofisi za TFF (PPF Tower).  

BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

KIINGILIO MECHI YA TAIFA STARS, MSUMBIJI 7,000/-

KIINGILIO MECHI YA TAIFA STARS, MSUMBIJI 7,000/-
Kiingilio cha chini cha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Msumbiji (Mambas) itakayochezwa Julai 20 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kitakuwa sh. 7,000.

Tiketi zinapatikana kwa mfumo wa elektroniki kupitia M-PESA. Kiingilio hicho kwa ajili ya viti vya rangi ya rangi ya chungwa, kijani na bluu. Viingilio katika maeneo mengine vitatangazwa baadaye.

Mshabiki ili apate tiketi anatakiwa kutumia M-PESA kwa kupiga *150*00# kisha bonyeza 4, ingiza namba ya kampuni 173399 kisha weka 7000 kwenye namba ya kumbukumbu ya malipo, na weka 7000 kama kiasi cha bei ya tiketi na mwisho weka namba yao ya siri.

Baada ya hapo utapokea ujumbe wenye orodha ya vituo vya MaxMalipo kwa ajili ya kuchukulia tiketi ukiwa na namba ya uhakiki wa malipo yako.

Vituo vya kuchukulia tiketi ni mgahawa wa Steers uliopo mtaa wa Samora/Ohio, maduka makubwa ya Uchumi Supermarket (Quality Centre, Tabata Segerea na kituo cha daladala Makumbusho), Sheer Illutions (Millennium Tower na Mlimani City), maduka makubwa ya TSN Supermarket (City Centre, Kibo Tegeta na Upanga).

Vodashop (Ubungo na Mill Pamba), Shop Mwenge (Born to Shine), Puma Petrol Station (Mwenge na Uwanja wa Ndege), Engen Petrol Station (Mbezi Beach), Big Bon Petrol Station (Kariakoo, Sinza Mori, Mbagala na Temeke), YMCA (Posta Mpya), City Sports Lounge (Posta), Uwanja wa Taifa) na ofisi za TFF (PPF Tower).  

BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

KIINGILIO MECHI YA TAIFA STARS, MSUMBIJI 7,000/-

KIINGILIO MECHI YA TAIFA STARS, MSUMBIJI 7,000/-
Kiingilio cha chini cha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Msumbiji (Mambas) itakayochezwa Julai 20 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kitakuwa sh. 7,000.

Tiketi zinapatikana kwa mfumo wa elektroniki kupitia M-PESA. Kiingilio hicho kwa ajili ya viti vya rangi ya rangi ya chungwa, kijani na bluu. Viingilio katika maeneo mengine vitatangazwa baadaye.

Mshabiki ili apate tiketi anatakiwa kutumia M-PESA kwa kupiga *150*00# kisha bonyeza 4, ingiza namba ya kampuni 173399 kisha weka 7000 kwenye namba ya kumbukumbu ya malipo, na weka 7000 kama kiasi cha bei ya tiketi na mwisho weka namba yao ya siri.

Baada ya hapo utapokea ujumbe wenye orodha ya vituo vya MaxMalipo kwa ajili ya kuchukulia tiketi ukiwa na namba ya uhakiki wa malipo yako.

Vituo vya kuchukulia tiketi ni mgahawa wa Steers uliopo mtaa wa Samora/Ohio, maduka makubwa ya Uchumi Supermarket (Quality Centre, Tabata Segerea na kituo cha daladala Makumbusho), Sheer Illutions (Millennium Tower na Mlimani City), maduka makubwa ya TSN Supermarket (City Centre, Kibo Tegeta na Upanga).

Vodashop (Ubungo na Mill Pamba), Shop Mwenge (Born to Shine), Puma Petrol Station (Mwenge na Uwanja wa Ndege), Engen Petrol Station (Mbezi Beach), Big Bon Petrol Station (Kariakoo, Sinza Mori, Mbagala na Temeke), YMCA (Posta Mpya), City Sports Lounge (Posta), Uwanja wa Taifa) na ofisi za TFF (PPF Tower).  

BONIFACE WAMBURA
OFISA HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)