Saturday, June 26, 2010
Timu ya taifa ya mpira wa Meza mazoezini Dar
wachezaji wa timu ya taifa ya mpira wa Meza wakiwa mazoezini katika viwanja vya kisutu jijini Dar es Salaam kujiandaa kucheza michezo miwili ya kirafiki na timu za taifa za Uganda na Zambia mwishoni mwa mwezi Juni.
Copa Coca Cola Temeke vs Singinda
Saturday, June 19, 2010
Kombe la dunia Afrika ya Kusini
Kulikoni jamani timu za Afrika zinekuwa dhaifu kiasi hicho kiasi kwamba wameshindwa kutumbukiza mpira wavuni hata katika nafasi zile za wazi? kwa mfano GHANA dhidi ya Australia,au ndiyo kusema soka la Afrika bado lipo usingizini?
Subscribe to:
Posts (Atom)