Waandishi wa habari za michezo wa TBC wakizungumza na mshambuliaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 Thomas Ulimwengu katika uwanja wa Karume jijini DSM,kutoka kulia JANE JOHN,CHARLES MWEBEA na EVANCE MHANDO.
Wednesday, March 24, 2010
Thomas Ulimwengu tumaini jipya kwa Stars
Stars na Ngorongoro Heroes kibaruani Afrika
Timu za taifa ile ya wakubwa Taifa Stars na timu ya taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 zinakibarua kingumu katika kutafuta tiketi ya kushiriki fainali za kombe la mataifa ya Afrika.
Taifa Stars yenyewe inashuka dimbani siku ya jumamosi kupepetana na Somalia kwenye uwanja wa Uhuru katika kutafuta tiketi ya kucheza katika fainali za Kombe la mataifa bingwa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani maarufu kama CHAN.
Wakatika kwa upande wa Ngorongoro Heroes wao wanajiandaa kumenyana na MALAWI April 17 ugenini katika kuwania kutafuta tiketi ya kucheza fainali za vijana wenye umri huo ambazo zitafanyika Libya mwakani
Taifa Stars yenyewe inashuka dimbani siku ya jumamosi kupepetana na Somalia kwenye uwanja wa Uhuru katika kutafuta tiketi ya kucheza katika fainali za Kombe la mataifa bingwa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani maarufu kama CHAN.
Wakatika kwa upande wa Ngorongoro Heroes wao wanajiandaa kumenyana na MALAWI April 17 ugenini katika kuwania kutafuta tiketi ya kucheza fainali za vijana wenye umri huo ambazo zitafanyika Libya mwakani
Monday, March 15, 2010
NGORONGORO HEROES KAZINI DHIDI YA MALAWI
Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 tayari imeanza kambi ya mazoezi ya mwezi mmoja kabla ya kuivaa timu ya taifa ya Malawi.
mchezo wa kwanza utakuwa ugenini nchini MALAWI kati ya tarehe 17 na kumi na nane mwezi wa April,na mchezo wa marudiano utafanyika May jijini Dar es Salaam na kama itashinda itaivaa Ivory Coast na iwapo itavuzu itakuwa imekata tiketi ya kushiriki michuano ya vijana wenye umri chini ya miaka ishirini zitakazofanyika nchini Libya mwaka 2011
mchezo wa kwanza utakuwa ugenini nchini MALAWI kati ya tarehe 17 na kumi na nane mwezi wa April,na mchezo wa marudiano utafanyika May jijini Dar es Salaam na kama itashinda itaivaa Ivory Coast na iwapo itavuzu itakuwa imekata tiketi ya kushiriki michuano ya vijana wenye umri chini ya miaka ishirini zitakazofanyika nchini Libya mwaka 2011
Wednesday, March 10, 2010
Monday, March 8, 2010
Kazi ni kazi mradi mkono uende kinywani
Kocha wa Taifa Stars Marcio Maximo
RIADHA
Nilibahatika kuhudhuria mashindano ya mwaka huu ya Kili Marathon,nasikitika kusema kwamba inatisha kuona Wakenya wanaendelea kutamba katika riadha na sisi tukiendelea kusuasua, sijui hali hii itaisha lini,na swali la kujiuliza ni je watanzania tupo tayari kushindana katika riadha? je vyama husika vinafanya nini kuhakikisha mchezo huu unakuja juu kama ilivyokua miaka ya 1970
Subscribe to:
Posts (Atom)