Ujenzi wa barabara ya mandela unaendelea vyema
Tuesday, July 27, 2010
Kozi ya uongozi katika michezo
Washiriki wa semina ya uongozi katika michezo wamesema mafunzo wanayoyapata yataleta mapinduzi katika maendeleo ya michezo hapa nchini.
RAIS wa shirikisho la ngumi za ridhaa nchini BFT, JOAN MINJA na kocha wa mchezo wa tenisi BOAZI MWAKUSA wamesema wamejifunza mambo mbalimbali ya kiongozi katika michezo kama vile kuandaa mpango mkakati wa maendeleo wa muda mfupi na muda mrefu ambao awali walikua hawajui njisi ya kufanya hivyo.
Semina hiyo ya uongozi katika michezo inaendeshwa na kamati ya Olympiki Tanzania kwa ushirikiano na OLYMPIC SOLIDARITY ikiwa na lengo la kuwapiga msasa viongozi wa vyama vya michezo Tanzania na inafanyika katika uwanja wa Uhuru jijini DSM.
Semina hiyo ya uongozi katika michezo inaendeshwa na kamati ya Olympiki Tanzania kwa ushirikiano na OLYMPIC SOLIDARITY ikiwa na lengo la kuwapiga msasa viongozi wa vyama vya michezo Tanzania na inafanyika katika uwanja wa Uhuru jijini DSM.
USAFI DAR
Netball
Kutokana na kutokuwa na uzoefu wa mashindano makubwa baadhi ya wachezaji wa timu za NETBALL zinazoshiriki mashindano ya klabu bingwa ya TAIFA wameanza kukata tamaa kwa timu zao kutwa ubingwa.
Wachezaji hao ROSE ISRAE wa EMIMA ambayo imeshapoteza michezo yote iliyocheza anasema uzoefu umewaangusha huku JAMILA ISSA wa RAS LINDI akisema timu za mikoani hazina uzoefu wa kutosha wa kutwa ubingwa huo.
Baadhi ya michezo iliyochezwa leo asubuhi timu ya RAS LINDI imeilaza SIFA kwa mabao 35 kwa 12,FBS ikapokea kipigo cha mabao 25 kwa 17 toka kwa MAGEREZA,JESHI STARS imeifunga POLISI DAR ES SALAAM kwa mabao 24 kwa 18 huku TUMBAKU MOROROGO ikiifunga EMIMA magoli 44 kwa 14.
Katika michezo mingine MAPINDUZI imefungwa na POLISI MBEYA kwa mabao 18 kwa 14 na timu ya MAGANGA haikutokea uwanjani kucheza na POLISI MWANZA kwamaana hiyo POLISI MWANZA wamepata ushindi wa mezani wa mabao 40 kwa bila.
Michezo hiyo ya klabu bingwa ya Netball inafanyika katika viwanja vya TCC CHANG’OMBE jijini DSM
Monday, July 26, 2010
SIMBA KUMEKUCHA
Mitindo katika ujenzi
Ujenzi ndani ya kariakoo
Sikukuu ya mashujaa yafana DSM
NGORONGORO HEROES yafungwa Ivory Coast
Timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 NGORONGORO HEROES imeanza vibaya mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili ya kuwania tiketi ya kushiriki fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa vijana baada ya hiyo jana kuzabwa bao moja kwa bila na timu ya taifa ya vijana ya IVORY COAST mjini ABJAN.
NGORONGORO HEROES itabidi ifanye kazi ya ziada kuhakikisha inapata ushindi nyumbani kama inataka kusonga mbele katika michuano hiyo ambayo fainali zake zitafanyika nchini LIBYA mwakani.Mchezo wa marundiano utachezwa baada ya wiki mbili zijazo jijini DSM
NGORONGORO HEROES itabidi ifanye kazi ya ziada kuhakikisha inapata ushindi nyumbani kama inataka kusonga mbele katika michuano hiyo ambayo fainali zake zitafanyika nchini LIBYA mwakani.Mchezo wa marundiano utachezwa baada ya wiki mbili zijazo jijini DSM
Thursday, July 22, 2010
Daraja la mto wami
NGORONGORO HEROES
Wednesday, July 21, 2010
TBL yamwaga vifaa kwa Simba na Yanga
KUSAKA VIPAJI kwa vutia wamarekani
VIFAA SIMBA
Simba na Yanga zapewa vifaa tayari kwa ligi kuu Tanzania bara.
Watani wa jadi katika soka la Tanzania Simba na Yanga leo wamekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 64 na wadhamini wao kampuni ya bia ya TBL tayari kwa mikiki mikiki ya ligi kuu Tanzania bara ambayo inaanza kutimu vumbi kuanzia AGUST 21.
Maneje wa bia ya Kilimanjaro GEORGE KAVISHE amesema wametoa vifaa hivyo kama mkataba wao na vilabu hivyo unavyosema
Kwa upandea wao mkamu mwenyekiti wa SIMBA GEOFREY NYANGE maarufu kama KAMBURU na mwenyekiti wa YANGA LLOYD NCHUNGA wamesema vifaa hivyo watavitumia kwa ajili ya kuendeleza soka la Tanzania. (VOX POPS)Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara wao wanateremka dimbani kuivaa African Lyon nyumbani kwenye dimba la UHURU jijini DSM wakati watani wao YANGA watasafiri hadi DODOMA kupepetana na POLISI DODOMA katika dimba la Jamhuri
Watani wa jadi katika soka la Tanzania Simba na Yanga leo wamekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 64 na wadhamini wao kampuni ya bia ya TBL tayari kwa mikiki mikiki ya ligi kuu Tanzania bara ambayo inaanza kutimu vumbi kuanzia AGUST 21.
Maneje wa bia ya Kilimanjaro GEORGE KAVISHE amesema wametoa vifaa hivyo kama mkataba wao na vilabu hivyo unavyosema
Kwa upandea wao mkamu mwenyekiti wa SIMBA GEOFREY NYANGE maarufu kama KAMBURU na mwenyekiti wa YANGA LLOYD NCHUNGA wamesema vifaa hivyo watavitumia kwa ajili ya kuendeleza soka la Tanzania. (VOX POPS)Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara wao wanateremka dimbani kuivaa African Lyon nyumbani kwenye dimba la UHURU jijini DSM wakati watani wao YANGA watasafiri hadi DODOMA kupepetana na POLISI DODOMA katika dimba la Jamhuri
NGORONGORO HEROES YAANGWA
NGORONGORO HEROES YAANGWA
Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 maarufu kama ngorongoro heroes inaendela na kampeni yake ya kutafuta tiketi ya kushiriki mashindano ya kombe la mataifa ya AFRIKA na inashuka dimbani dhidi ya IVORY COAST siku ya jumapili kwenye dimba la FELEX HOUPHOUET BOIGNY mjini ABJAN.
Akiongea wakati wa kukabidhi bendera kwa NGORONGORO HEROES mkurungezi wa michezo katika wizara ya habari utamaduni na michezo LEORNARD THADEO amewataka vijana hao kucheza kwa bidii na nidhamu ya hali juu ili kushinda mchezo huo ugenini na kufanya kazi iwe rahisi wataporundiana jijini DSM wiki baada ya wiki mbili zijazo.
Kocha mkuu wa NGORONGORO HEROES, RODRIGO STROCKELER na nahodha wa timu hiyo HIMID MAO wamesema wao ni jeshi la uhakika na wemejiandaa vyema kushinda mchezo huo.
Msafara wa wachezaji 20 na viongozi saba NGORONGORO HEROES unaondoka alfajiri ya kesho tayari kuikabili timu ya taifa ya vijana ya IVORY COAST siku ya jumapili.NGORONGORO HEROES iwapo itashinda mchezo huo itakutana na mshindi kati ya timu ya taifa ya vijana ya NGAMBIA ambayo inateremka dimbani kuivaa SERE LEONE,fainali za AFRIKA kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 zitafanyika nchni LIBYA mwakani
Akiongea wakati wa kukabidhi bendera kwa NGORONGORO HEROES mkurungezi wa michezo katika wizara ya habari utamaduni na michezo LEORNARD THADEO amewataka vijana hao kucheza kwa bidii na nidhamu ya hali juu ili kushinda mchezo huo ugenini na kufanya kazi iwe rahisi wataporundiana jijini DSM wiki baada ya wiki mbili zijazo.
Kocha mkuu wa NGORONGORO HEROES, RODRIGO STROCKELER na nahodha wa timu hiyo HIMID MAO wamesema wao ni jeshi la uhakika na wemejiandaa vyema kushinda mchezo huo.
Msafara wa wachezaji 20 na viongozi saba NGORONGORO HEROES unaondoka alfajiri ya kesho tayari kuikabili timu ya taifa ya vijana ya IVORY COAST siku ya jumapili.NGORONGORO HEROES iwapo itashinda mchezo huo itakutana na mshindi kati ya timu ya taifa ya vijana ya NGAMBIA ambayo inateremka dimbani kuivaa SERE LEONE,fainali za AFRIKA kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 zitafanyika nchni LIBYA mwakani
Monday, July 19, 2010
Ushirikiano
Uchaguzi Yanga
Uchaguzi Yanga
Uchaguzi Yanga
LLYORD CHUNGA ndiye mwnyekiti mpya wa YANGA baada ya kushinda Uchanguzi.
Mwasheria LLYORD CHUNGA ndiye mwenyekiti mpya wa klabu ya YANGA baada hiyo jana kuchanguliwa na wanachama wa YANGA katika uchanguzi uliofanyika katika ukumbi wa PTA sasaba jijini DSM
Mwasheria LLYORD CHUNGA ndiye mwenyekiti mpya wa klabu ya YANGA baada hiyo jana kuchanguliwa na wanachama wa YANGA katika uchanguzi uliofanyika katika ukumbi wa PTA sasaba jijini DSM
Afisa habari wa YANGA LUIS SEDEU amesema CHUNGA ameibuka kidedea baada ya kujinyakulia kura 1437 baada ya kuwabwanga washindani wake EDIGAR CHIBULA, FRANCIS KIFUKWE, ABEDI ABEDI na MBARAKA IGANGULA.
SEDEU amesema DAVIS MOSHA amechanguliwa kama makamu mwenyekiti baada ya kupata kura 2142 na kumshinda mpinzania wake COSTANTINTINE MALIGO aliyejinyakulia kura 55
Katika nafasi ya wajumbe wa kamati ya utendaji SEDEU amewataja walichanguliwa kuwa ni mchezaji wa zamani wa YANGA na Taifa Stars ALLY MAYAYI,SARA RAMADHANI,MOHAMED BINDA,CHARLES MGONDO,SALUM RUPIA,TITO OSORO TINESI RUTASHABORWA na mwimbaji maarufu wa taarabu nchini MZEE YUSUFU
Viongozi waliochanguliwa wanachukua nafasi ya uongozi wa YANGA uliomalizia muda wake ambao ulikuwa chini ya mwenyekiti IMAN MADEGA.
=
SEDEU amesema DAVIS MOSHA amechanguliwa kama makamu mwenyekiti baada ya kupata kura 2142 na kumshinda mpinzania wake COSTANTINTINE MALIGO aliyejinyakulia kura 55
Katika nafasi ya wajumbe wa kamati ya utendaji SEDEU amewataja walichanguliwa kuwa ni mchezaji wa zamani wa YANGA na Taifa Stars ALLY MAYAYI,SARA RAMADHANI,MOHAMED BINDA,CHARLES MGONDO,SALUM RUPIA,TITO OSORO TINESI RUTASHABORWA na mwimbaji maarufu wa taarabu nchini MZEE YUSUFU
Viongozi waliochanguliwa wanachukua nafasi ya uongozi wa YANGA uliomalizia muda wake ambao ulikuwa chini ya mwenyekiti IMAN MADEGA.
=
Thursday, July 15, 2010
NGUMI MAZOEZINI
Mwakalebele baibai TFF
Ajira ya katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini TFF FREDRICK MWAKALEBELA yafikia ukingoni na sasa bosi mpya ajira yake kutangazwa JULY 17.katika picha kulia ni Rais wa TFF LEODIGAR TENGA na kushoto kwake ni katibu aliyemaliza muda wake FREDRICK MWAKALEBELA,Mwakalebela ametangaza nia ya kungombea Ubunge jimbo la IRINGA mjini.
Tanzania kufaindika na finali za kombe la dunia
Shirikisho la soka nchini TFF limebainisha kuwa Tanzania itafaidika na michuano ya kombe la Dunia iliyomalizika nchini Afrika Kusini katika Nyanja za ufundi na mbinu za kisoka.Rais wa TFF LEODGAR TENGA amesema alipokuwa nchini Afrika Kusini alikutana na viongozi wa soka wa mataifa mbalimbali ambao wameonesha nia ya kushirikiana na Tanzania kuhakikisha soka la tanzania linasonga mbele hasa kuhakikisha vijana wengi wanacheza soka la kulipwa Ulaya kwa manufaa ya TAIFA STARS
Wednesday, July 14, 2010
AZAM wawaka juu ya NGASSA
usajilia YANGA
Heka heka za usajili
MISS TEMEKE 2010
KINYANG'ANYIRO CHA UCHAGUZI YANGA
Thursday, July 1, 2010
Kazi ni kazi tu
NGUMI
MATUNDA
Gofu
Maximo
Maximo atuaga watanzania
NGORONGORO HEROES KIBARUANI
NGORONGORO HEROES KIBARUANI
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka ishirini Ngorongoro Heroes RODRIGO STROKELER na msaidizi wake ADOLF RISHARD wakitoa mawaidha kwa mshambuliaji wa timu hiyo THOMAS ULIMWENGU wakati wa mazoezi katika uwanja wa Karume,ULIMWENGU anategemewa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya NGORONGORO HEROES dhidi ya IVORY COAST mwishoni mwa mwezi huu katika kampeni ya kuwania kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika yatakayofanyika mwaka huu.
Subscribe to:
Posts (Atom)