Tuesday, July 26, 2011




TANZANIA FOOTBALL FEDERATION
Affiliated to FIFA, CAF and CECAFA
Karume Memorial Stadium, Uhuru/Shaurimoyo Rd – Ilala
P.O. Box 1574, Dar Es Salaam, Tanzania
Telefax: +255 22 2861815, Email: tfftz@yahoo.com, Website: www.tfftanzania.com
RATIBA YA LIGI YA TAIFA NGAZI YA TAIFA FAINALI
06 AUGUST, 2011 - 14 AUGUST, 2011

KUNDI A KUNDI B KUNDI C
A Polisi Morani FC A Polisi Central Dar Mlale JKT A
B Mgambo Shooting B Majengo FC Geita Vterans B
C Samaria FC C Sifapolitan FC Rumanyika FC C
D Kasulu United D Small Kids Cosmopolitan FC D

NO. TAREHE MECHI KUNDI TIMU MUDA UWANJA
1 06 Aug. 2011 1 A Samaria FC Vs Kasulu United 2:00 PM Mkwakwani C Vs D
2 Polisi Morani FC Vs Mgambo Shooting 4:00 PM Mkwakwani A Vs B
2 07 Aug. 2011 3 B Sifapolitan FC Vs Small Kids 2:00 PM Mkwakwani C Vs D
4 Polisi Central Dar Vs Majengo FC 4:00 PM Mkwakwani A Vs B
3 08 Aug. 2011 5 C Rumanyika FC Vs Cosmopolitan FC 2:00 PM Mkwakwani C Vs D
6 Mlale JKT Vs Geita Veterans 4:00 PM Mkwakwani A Vs B
4 09 Aug. 2011 7 A Mgambo Shooting Vs Samaria FC 2:00 PM Mkwakwani B vs C
8 Kasulu United Vs Polisi Morani FC 4:00 PM Mkwakwani D vs A
5 10 Aug. 2011 9 B Majengo FC Vs Sifapolitan FC 2:00 PM Mkwakwani B vs C
10 Small Kids Vs Polisi Central Dar 4:00 PM Mkwakwani D vs A
6 11 Aug. 2011 11 C Geita Veterans Vs Rumanyika FC 2:00 PM Mkwakwani B vs C
12 Cosmopolitan FC Vs Mlale JKT 4:00 PM Mkwakwani D vs A
7 12 Aug. 2011 13 A Mgambo Shooting Vs Kasulu United 2:00 PM Mkwakwani B vs D
14 Polisi Morani FC Vs Samaria FC 4:00 PM Mkwakwani A Vs C
8 13 Aug. 2011 15 B Majengo FC Vs Small Kids 2:00 PM Mkwakwani B vs D
16 Polisi Central Dar Vs Sifapolitan FC 4:00 PM Mkwakwani A Vs C
9 14 Aug. 2011 17 C Geita Veterans Vs Cosmopolita FC 2:00 PM Mkwakwani B vs D
18 Mlale JKT Vs Rumanyika FC 4:00 PM Mkwakwani A Vs C








==== ==

MCHEZAJI gofu kutoka Klabu ya Gymkhana Arusha (AGC) Madina Idd anaongoza baada ya raundi ya kwanza ya mashindano maalumu ya kutafuta nafasi nne za kuunda timu ya taifa ya mchezo huo.

Timu ya taifa inatarajia kushiriki michuano ya Kombe la Challenge Afrika Mashariki na Kati iliyopangwa kuanzia Agosti 16 hadi 18 kwenye viwanja vya Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Lugalo, Dar es Salaam .

Katika mashindano hayo ya siku nne ya viwanja 72 ambayo yalianza jana, Lugalo, Madina anaongoza baada ya kurejea na mikwaju 81.

Alianza vema viwanja tisa vya mwanzo na kupiga mikwaju 36, lakini alikwama tisa ya pili alilopiga 45.

Nafasi ya pili wanakaba koo wachezaji wawili akiwepo Mchezaji wa Gofu Bora wa Mwaka 2010 Hawa Wanyeche kutoka Klabu ya Gymkhana Dar es Salaam (DGC) na vetereni Sophia Viggo wa Moshi ambao kila mmoja amerejea na mikwaju 85.

Ayne Magombe wa DGC anashika nafasi ya nne akiwa na mikwaju 87, Angel Eaton wa DGC na Neema Olomi wa AGC kila mmoja alirejea na mikwaju 91.

Msimamizi wa mashindano hayo na kocha wa timu ya taifa Mbwana Juma akizungumza mara baada ya raundi hiyo alisema matokeo sio mazuri, lakini huo ni mwanzo.

“Hii ni raundi ya kwanza ngoja kesho (leo) tunaona kwa sababu kila mtu ni mgeni na uwanja,” alisema.

Mashindano hayo yanayoendeshwa na Chama cha Gofu cha Wanawake Tanzania (TLGU) yanaendelea leo na kutarajia kumalizika Ijumaa.
====

MTIHANI WA UWAKALA WA WACHEZAJI
Mtihani wa Uwakala wa Wachezaji wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utafanyika Septemba 29 mwaka huu. Mtihani huo utakaokuwa na sehemu mbili; maswali kutoka FIFA na kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) utafanyika saa 4 asubuhi.

Kwa Watanzania wanaotaka kuwa mawakala wa wachezaji wafike TFF ili waweze kupewa taratibu za mtihani huo ambao ada yake ni dola 50 za Marekani.

Wahusika wa mtihani huo ni wale wanaotaka uwakala kwa mara ya kwanza. Kwa wale wenye leseni za uwakala wanatakiwa kuziuhisha (renew) kila baada ya miaka mitano.

Mpaka sasa Tanzania ina mawakala saba wa wachezaji wanaotambuliwa na FIFA. Mawakala hao ni Ally Mleh wa Manyara Sports Management, Damas Ndumbaro, John Ndumbaro, Mehdi Remtulla, Ally Saleh, Yusuf Bakhresa na Said Tully.

RHINO SPORTS YAUZWA MBEYA
Halmashauri ya Jiji la Mbeya (Mbeya City Council) imeinunua timu ya daraja la kwanza ya Rhino Sports Club ya Arusha. Hivyo timu hiyo sasa makao makuu yake yatakuwa Mbeya na itaitwa Mbeya City Council Sports Club- MCC.

Pia uongozi wa Halmashauri hiyo umemteua Kocha Juma Mwambusi kuwa Meneja wa timu hiyo na amepewa idhini ya kushughulikia usajili na taratibu nyingine za ushiriki wa MCC katika Ligi Daraja la Kwanza na mashindano mengine.

Boniface Wambura
Ofisa HabariShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
== ==== ==== ===
PRESS RELEASE
TANZANIA JUNIOR GOLF FOUNDATION
We are pleased to announce the formation of the Tanzania Junior Golf Foundation which is under the auspice of the Tanzania Golf Union.
The newly elected Junior Golf Foundation Executive Committee consists of:-
Mr. Jaffary Ally Omari – Chairman
Mr. Alfred Kinswaga – Vice Chairman
Mr. Sam Mowo – Hon. Secretary
Mr. Godfrey Kilenga – alternate Hon. Secretary
Mr. Jatin Sonecha – Hon. Treasurer
Mr. Ali Ismail –Sponsorship/Tournament Executive
Mr. Joseph Tango – Alternate, Sponsorship/Tournament Executive
Trustees:-
Mrs. Sherida Chilipachi
Mr. Titus Murage

The Committee has promised to work very hard to ensure that even children from less privileged families have access to golf. They will also work hand in hand with schools to make sure that golf is acknowledged as a curriculum sport.

We are inviting parents from all walks of life to bring their kids for the junior clinics to any golf course closer to them every Saturday morning.

Dioniz Malinzi
Chairman
Tanzania Golf Union

= =
MSAMA AUCTION MART yakamata maharamia wa muziki
Kampuni ya udalali wa mahakama ya MSAMA AUCTION MART hii leo imefanikiwa kuwatia mikononi mwa sheria wakazi watatu wa TANDIKA kwa tuhuma za kudurufu kazi za wasanii zenye thamani ya shilingi milioni tisa, laki tano na elfu thelathini na sita.
Mkurugezni wa MSAMA AUCTION MART, ALEX MSAMA amesema mbali na kuwakamata watuhumiwa hao pia wamegundua mtandano mkubwa unaojihusisha na usambazaji wa CD feki za wasanii
Watuhumiwa hao ambao wamefikishwa katika kituo cha polisi cha CHANG’MBE jijini DSM ni pamoja na FRED JUMBE, MARTIN MKINGA na MUSTAFA RASHID
Aidha MSAMA amesema kampuni yake itaendelea na oparesheni hiyo kwa nchi nzima ambapo pia ameomba ushirikiano mkubwa kutoka kwa wasanii ambao ndiyo kazi zao zimekuwa zikiibiwa.
==
J SISTERS kuzindua ALBUM JUMAPILI
Kundi la Muziki wa Injili la J SISTERS linatarajia Kuzindua albamu yao inayojulikana kama CHUKUA USHINDI Jumapili hii katika ukumbi wa DIAMOND JUBILEE.
Kiongozi wa kundi hilo JENNIFER MSHAMA amesema wamejiandaa kutoa burudani tosha katika uzinduzi huo ambapo mgeni rasmi atakuwa Mke wa RAIS MAMA SALMA KIKWETE
MSHAMA amesema Uzinduzi wa albam hiyo utasindikizwa na waimbaji wengine kama vile FROLA MBASHA na BONNY MWAITEGE.
Kundi hilo la J SISTERS ambalo linaundwa na wanamuziki ndugu ambao ni JENNFFER, JESSICAR , JAQUILLINE na JULIET kwa pamoja walionyesha utaalam wao katika kupangilia ala za sauti
= =
Warembo watano waingia fainali ILALA
Katika sanaa ya UREMBO, walimbwende watano wameingia fainali ya kumtafuta MREMBO mwenye vipaji kwa wilaya ya ILALA katika onesho litakalofanyika katika viwanja vya MNAZI MMOJA jijini DSM siku ya IJUMAA.
Warembo hao walipatakana hapo jana katika mchujo uliofanyika ukumbi wa SAVANNA LOUNGE uliopo katika jengo la QUALITY PLAZA baada ya kuonesha vipaji mbali mbali ikiwemo kucheza muziki pamoja na sanaa za asili
Kwa mujibu wa mratibu wa mashindano hayo JACKSON KALIKUMTIMA maandalizi ya kumsaka MREMBO wa ILALA yamekamilika na warembo wako katika hali nzuri baada ya kumaliza ziara ya kiutalii jijini NAIROBI KENYA.

= =
MADINA aongoza michuano ya gofu ya ARUSHA OPEN
MCHEZAJI gofu kutoka Klabu ya Gymkhana Arusha (AGC) Madina Idd anaongoza baada ya raundi ya kwanza ya mashindano maalumu ya kutafuta nafasi nne za kuunda timu ya taifa ya mchezo huo.
Katika mashindano hayo ya siku nne ya viwanja 72 ambayo yalianza jana, Lugalo, Madina anaongoza baada ya kurejea na mikwaju 81.
Nafasi ya pili wanakaba koo wachezaji wawili akiwepo Mchezaji wa Gofu Bora wa Mwaka 2010 Hawa Wanyeche kutoka Klabu ya Gymkhana Dar es Salaam (DGC) na vetereni Sophia Viggo wa Moshi ambao kila mmoja amerejea na mikwaju 85.
Ayne Magombe wa DGC anashika nafasi ya nne akiwa na mikwaju 87, Angel Eaton wa DGC na Neema Olomi wa AGC kila mmoja alirejea na mikwaju 91.
= =
ALIYEKUWA mpinzani katika uchaguzi wa shirikisho la soka duniani FIFA na rais wa shirikisho la soka huko ASIA , MOHAMED BIN HAMMAM anapanga mkakati wa kukata rufaa katika chombo cha michezo cha COURT OF ARBITRATION FOR SPORT (CAS) kupinga kufungiwa maisha kujihusisha na masuala ya soka.
BIN HAMMAM anasema kufungiwa kwake kuonaonyesha dhahiri ni cha kulipiza kisasi baada ya yeye kujitosa kupambana na SEPP BLATTER katika uchaguzi uliofanyika JUNE MOSI mwaka huu.
Hadi jana usiku, BIN HAMMAM alikuwa bado yupo katika orodha inayoonyesha kuwa BIN HAMMAM bado ni rais wa shirikisho la soka la bara la ASIA.
Kamati ya maadili ya FIFA imebainisha kuwa BIN HAMMAM alitoa na kupokea rushwa kwa nyakati tofauti.
==
TIMU ya CHELSEA imewasili HONG KONG tayari kwa michezo maalum ya mashindano ya ASIA.
CHELSEA itacheza kesho na mabingwa wa ligi ya soka ya HONG KONG timu ya KITCHEE katika mchezo wa NUSU fainali ya mashindano hayo maalum huko ASIA.
Huku timu ya ASTON VILLA nayo ikitarajia kucheza na BLACKBURN ROVERS katika michezo itakayochezwa katika uwanja wa HONG KONG.
CHELSEA inashiriki katika mashindano haya huku ikiwa imeifunga Magoli MANNE kwa BILA tiomu ya THAILAND ikiwa ni mwendelezo wa mashindano ya ASIA.
Mashindano haya hufanyika kila baada ya miaka MIWILI kupita .
==
MCHEZAJI wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya MAREKANI ya NBA ambaye ni anatokea nchini CHINA, YAO MING ameagwa rasmi baada ya kutangaza kustaafu kucheza mchezo huo.
YAO anapongezwa kwa jitihada zake za kuhamasisha wachezaji chipukizi kuiga mfano wa kuwa na haja ya kucheza mpira wa kikapu katika kiwango cha kimataifa.
YAO mwenye miaka 31, mapema JULY 20 mwaka huu alitangaza kustaafu katika klabu ya HOUSTON ROCKETS ya MAREKANI mbele ya mashabiki wa CHINA waliokusanyika katika uwanja wa SHANGHAI kushuhudia kupongezwa kwa mchezaji huyo aliyechezea misimu NANE ligi ya NBA.
Lakini YAO hakuweza kusema chochote kama atashiriki katika mashindano ya 2012 ya OLYMPIKI akiwa na timu ya taifa ya kikapu ya CHINA katika mashindano hayo.





.Wanariadha wa MKOA WA MJINI MAGHARIBI watamba mashindano ya taifa ya riadha.
Jumla ya mikoa 21 imeshiriki mashindano ya taifa ya riadha lengo lake kubwa likiwa ni kuchangua timu ya taifa mchezo huo itakayoshiriki michezo ya ALL AFRICA GAMES inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi SEPTEMBA 3 hadi 18 jijini MAPUTO,MSUMBIJI.
Wanariadha wa mkoa wa MJINI MAGHARIBI wameonyesha kiwango cha juu na kutwaa medali 33 na hivyo kuwa washindi wa jumla.
Kati ya medali hizi 33, medali 16 ni za dhahabu, 9 za fedha na 8 za shaba.
Mkoa wa ARUSHA umeshika nafasi ya pili baadya ya kunyakua medali 24 kati ya hizo dhahabu zikiwa 8, fedha 9 na shaba 7.
Wenyeji DSM wamemaliza katika nafasi ya SABA.
Katika hatua nyingine naibu waziri wa mambo ya ndani na mbunge wa BUKOBA MJINI –BALOZI KHAMISI KAGASHEKI amewataka wadau wa michezo nchini kuunga mkono mchezo wa riadha.
BALOZI KAGASHEKI alikuwepo uwanjani hiyo jana ambapo pia aliwatembelea wanariadha wa mkoa wake wa KAGERA.
Balozi KAGASHEKI enzi zake alikuwa akitamba katika riadha hususani mbio za mita 100 na 200.
===

DROO ya ligi ya taifa yawekwa hadharani




Shirikisho la soka nchini TFF, limefanya droo ya fainali ya ligi ya taifa kutafuta timu itakayopanda daraja la kwanza msimu huu, ambayo inatarajiwa kuanza AUGUST NANE hadi KUMI na NNE.
Afisa habari wa TFF, BONIFACE WAMBURA amesema Jumla ya timu KUMI na MBILI zitashiriki ligi hiyo iliyopangwa kufanyika Mkoani TANGA, ambapo ametoa sababu zilizoufanya mji wa TANGA kuchaguliwa kuwa kituo cha fainali hizo.
WAMBURA amesema katika kundi A , kutakuwa na timu za MLALE JKT, GEITA VETERANS, RUMANYIKA na KASULU UNITED.
Kundi B litakuwa na timu za POLISI MORANI, SAMARIA FC, MGAMBO na COSMOPOLITAN
Kundi C litakuwa na timu za POLISI CENTRAL, SIFA POLITAN, MAJENGO na SMALL KIDS.
Wakati huo huo jumla ya timu TANO zimethibitisha kuutumia Uwanja wa AZAM ulioko MBANDE, CHAMAZI.
Timu zilizothibitisha kuutumia uwanja huo katika mechi za ligi ni pamoja na AZAM FC, AFRICAN LYON,VILLA SQUAD, MORO UNITED na JKT RUVU.
Aidha Uwanja huo hautatumika katika mechi za SIMBA na YANGA dhidi ya vilabu hivyo.


= =

J SISTERS kuzindua ALBUM


Kundi la Muziki wa Injili la J SISTERS linatarajia Kuzindua albamu yao inayojulikana kama CHUKUA USHINDI Jumapili hii katika ukumbi wa DIAMOND JUBILEE.
Kiongozi wa kundi hilo JENNIFER MSHAMA amesema wamejiandaa kutoa burudani tosha katika uzinduzi huo ambapo mgeni rasmi atakuwa Mke wa RAIS MAMA SALMA KIKWETE
MSHAMA amesema Uzinduzi wa albam hiyo utasindikizwa na waimbaji wengine kama vile FROLA MBASHA na BONNY MWAITEGE.
Kundi hilo la J SISTERS ambalo linaundwa na wanamuziki ndugu ambao ni JENNFFER, JESSICAR , JAQUILLINE na JULIET kwa pamoja walionyesha utaalam wao katika kupangilia ala za sauti
= =

Monday, July 18, 2011

ZANZIBAR YAnyakua dhabu NNE katika JUDO

ZANZIBAR YAnyakua dhabu NNE katika JUDO

TIMU ya taifa ya JUDO ya ZANZIBAR inaongoza baada ya kujinyakulia medali NNE za dhahabu katika mashindano ya kuwania ubingwa wa Afrika MASHARIKI yanayoendelea jijini DSM.

Akizungumza na TBC kwa njia ya simu katibu mkuu wa chama cha JUDO TANZANIA KASHINDE SHABANI amesema BURUNDI na KENYA zinashika nafasi ya pili zikiwa na medali mbili za dhahabu kila moja.

SHABANI amesema timu ya JUDO ya Tanzania bara mpaka sasa imejinyakulia medali mbili za SHABA.

Mashindano hayo yanashirikisha nchi za KENYA, BURUNDI, ZANZIBAR na wenyeji TANZANIA BARA.

====
Mabondia chipukizi watambiana katika masubwi

Katika masubwi bondia chipukizi JULIAS THOMAS wa klabu ya MIDIZINI ameibuka kidedea baada ya kumchapa MARK HARDSON wa klabu ya Ashanti katika uzito mwepesi wa KILO 52 kwenye mashindano ya kuinua vipaji kwa mabondia jipukizi yaliyofanyika jana jijini DSM.

Pambano jingine la kusisimua liliwakutanisha JONAS LAZARO wa klabu ya MAGOMENI CITY dhidi ya MOHMED SEIF na katika pambano hilo JONAS alimpinga SEIF kwa POINTI.

Mabondia wenye umri chini ya miaka 12 iliwakutanisha JAMES EDMOND wa MIDIZINI dhidi ya STEVIN ANASTARS pia wa midizini katika uzito wa kilo 31 na katika pambano hilo walitoka sare.

Kwa upande wa akina dada ZAINABU MHANULA alicheza na ZULFA SADIKI katika uzito wa kilo 31 na pia wakatoka sare.

===

Japan mabingwa wa kombe la dunuia kwa wanawake

Timu ya taifa ya wanawake ya JAPAN imenyakua kombe la dunia kwa wanawake baada ya kuifunga MAREKANI kwa mikwaju ya penati MITATU kwa Moja baada muda wa dakika 120 kushuhudia timu hizo sikitoka sare ya kufunga mabao MAWILI kwa MAWILI.

ABBY WAMBACH aliifungia MAREKANI bao la pili katika dakika za nyongeza lakini nahodha wa JAPAN HOMARE SAWA akasawazisha bao hilo kwa JAPAN katika dakika ya 117 na mchezo kuimalizika kwa kufungana mabao MAWILI kwa MAWILI baada ya dakika 120 za mchezo kumalizaika.

Goli la kuongoza la mareikani limefungwa na ALEX MORGAN na JAPAN wakasawazisha kupitia kwa mshambuliaji wake Aya Miyama katika dakika ya 81 ya mchezo.

Katika hatua ya penati,MLINDA wa MLANGO wa JAPAN Ayumi Kaihori aliibuka shujaa baaada ya kuokoa penati mbili za MAREKANI.

JAPAN katika mikwaju ya penati ikapata penati TATU na MAREKANI penati moja hivyo JAPAN wakakabidhiwa kombe la ubingwa wa dunia kwa wanawake.


= = = = =

Paraguay yaitupa nje Brazil Copa America

Timu ya taifa ya Paraguay, imetinga hatua ya NUSU FAINALI ya COPA AMERIKA baada ya kuitandika mabingwa watetezi BRAZIL kwa mikwaju ya penati 2 kwa BILA.

BRAZIL walitwala kipindi chote cha dakika 120 za mchezo huku wakitengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini washambuliaji wake wakiongozwa na PATO, Robinho na Neymar wakishindwa kuzitumi vyema na kulazimishwa suluhu ya bila kufungana.

Katika hatua ya kupigiana penati maajabu yakatokea baada ya wachezaji watano wa Brazil kukosa penati zao,penati nne wakipinga nje ya lago,wakati penati moja ilidakwa na kipa wa Paraguay Justo Villar.

Waliokosa penati kwa upande wa BRAZIL ni Elano, Andres Santos na Thiago Silva huku penati za PARAGUAY zikifungwa na Marcelo Estigarribia na Cristian Riveros.

Katika mchezo mwingine wa Robo Fainali ulishudia VENEZUELA ikiitandika CHILLE kwa mabao MAWILI kwa MOJA.

Hatua ya NUSU fainali itakayochezwa kesho kutwa itazikutanisha PERU na URUGUAY na PARAGUAY dhidi ya VENEZUELA.

==== ===

Daniel Pedrosa ashinda Germany Moto GP

Daniel Pedrosa ameshinda mbio za pikipiki za Germany Moto GP baada ya kumaliza mbio hizo kwa kutumia muda wa dakika 41 na sekunde 12.

Katika mbio hizo za UJERUMANI Jorge Lorenzo ameamaliza katika nasafi ya pili wakati nafasi ya tatu imenyakuliwa na bingwa wa dunia Casey Stoner,Andrea Dovizioso na Ben Spies wameamaliza katika nafasi ya nne na ya tano.

Msimamo wa jumla unaonyesha Casey Stoner anaongoza akiwa na Alama 168, Jorge Lorenzo anashika nafasi ya pili akiwa na alama 153 ,Andrea Dovizioso yupo katika nafasi ya tatu akiwa na alama 132 ,Valentino Rossi ni wane akiwa na alama 98 na Daniel Pedrosa anashika nafasi ya tano akiwa na alama 94.

===== ===


MARK CAVENDISH ashinda mbio za baiskeli za UFARANSA.

Katika mbio za baiskeli za Ufaransa, MARK CAVENDISH imeibuka kidedea baada ya kushinda hatua ya 15 mbio hizo jana.

Katika mbio hizo TYLER FARRAR imeshika nafasi ya pili na nafasi ya tatu ikatwaliwa na ALESSANDRO PETACCHI.

Matoke ya jumla baada ya hatua hizo kumi na tano THOMAS VOECKLER anaongoza akifutiwa na FRANK SCHLECH na watatu ni CADEL EVANS.

Hatua ya kumi na sita ya mbio za baiskeli za UFARANSA yataendelea leo.


===== ====

Wednesday, July 13, 2011

Timu ya taifa ya riadha itakayoshiriki mashandano ya ALL AFRICA GAMES kuchanguliwa katika mashindano ya riadha ya taifa yatakayofanyika JIJINI DSM JULY 23.

Katibu mkuu wa shirikisho la riadha nchini SULEIMAN NYAMBUI amewataka wanariadha wa mikoa yote ya Tanzania watakaoshiriki katika mashindano hayo kuendela kujifua ili walete ushindani katika mashindano hayo na hatimaye kuchangua kikosi bora cha timu ya taifa.

Michezo hiyo ya Kumi ya ALL AFRICA GAMES itafanyika kuanzia Septemba 3-18 mwaka huu jijini Maputo, Msumbiji.



Washambuliaji wa timu ya taifa ya ZAMBIA na JAMHURI ya KATI kumwaga wino simba

Klabu ya soka ya SIMBA inakamilisha taratibu za usajili kwa washambuliaji FELEX SUNZU wa timu ya taifa ya Zambia na MOMA HILLARIE wa timu ya taifa ya JAMHURI ya KATI ili kuimarisha safu yake ya ushambuliaji ambayo ilikuwa butu wakati wa michuano ya kombe ka KAGAME yaliyomalizika mwishoni mwa wiki.

Akizungumza na TBC ofisini kwake Afisa Habari wa SIMBA, EZEKEL KAMWAGA amesema SUNZU anatua usiku wa leo kukamilisha usajili wakati HILLARIE ameshafanya majaribio na kikosi cha SIMBA na sasa iliyobaki ni kukamilisha taratibu za usajili.(PAUSE)

KAMWAGA amesema mshambuliaji wa samba EMANNUEL OKWI amefauli majaribio aliyofanya na klabu ya KAIZER CHIEF ya Afrika kusini na sasa anasubiri kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kusajiliwa na kama atafeli atarejea kuitumikia SIMBA.

KAMWAGA pia amekanusha uvumi ulionee kwenye vyombo vya habari lakini siyo TBC kwamba kiungo MOHAMED BANKA na mshambuliaji MUSSA MGOSI wametemwa na SIMBA,amesema wachezaji hao ni mali ya SIMBA na watarejea kuitumikia klabu yao baada ya mapunziko mafupi waliyopewa na wawachezaji wengine wa SIMBA baada ya mchezo wa fainali ya kuwania kombe la KAGAME dhidi ya YANGA.

SIMBA itaanza mazoezi wiki ijayo kujiandaa kwa mechi ya ngao ya HISANI dhidi ya YANGA AGOSTI 13 na LIGI KUU ya VODACOM TANZANIA BARA ambayo itaanza kutimua vumbi AGOSTI 20.

====
Twiga Stars yatupwa kundi B ALL AFRICA GAMES
Timu ya Taifa ya wanawake ya mpira wa miguu (Twiga Stars) imepangwa kundi B
katika Michezo ya Afrika (All Africa Games). Michezo hiyo ya Kumi itafanyika kuanzia Septemba 3-18 mwaka huu jijini Maputo, Msumbiji.


Upangaji makundi kwa ajili ya michezo hiyo kwa upande wa wanawake na wanaume ulifanywa jana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Hicham El Amran.

Rais wa CAF, Issa Hayatou pia alishuhudia upangaji huo wa makundi uliofanyika makao makuu ya shirikisho hilo jijini Cairo, Misri wakiwemo pia wawakilishi wa timu zilizofuzu kwa ajili ya michezo hiyo.

Twiga Stars imepangwa pamoja na timu za Afrika Kusini, Zimbabwe na Ghana. Kundi A lina wenyeji Msumbiji, Cameroon, Algeria na Guinea. Mabingwa wa mwaka 2007 Nigeria wameshindwa kufuzu kwa ajili ya michuano ya mwaka huu.


Wiki iliyopita Twiga Stars ilikuwa Harare, Zimbabwe kwenye mashindano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA). Ilishika nafasi ya tatu ambapo ilicheza na Zimbabwe na Afrika Kusini. Zimbabwe ‘Mighty Warriors’ ndiyo walioibuka mabingwa wakati Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’ ilikuwa makamu
bingwa.

Twiga Stars inayofundishwa na Charles Mkwasa akisaidiwa na Nasra Mohamed
inatarajia kuingia kambini mwezi mmoja kabla ya kuanza michuano hiyo inayoshirikisha timu nane.

Kwa upande wa wanaume kundi A lina wenyeji Msumbiji, Afrika Kusini, Libya na
Madagascar wakati kundi B ni Cameroon, Uganda, Ghana na Senegal.

Boniface Wambura
Ofisa Habari

====

Washambuliaji wa timu ya taifa ya ZAMBIA na JAMHURI ya KATI kumwaga wino simba





























Tuesday, July 12, 2011


Wamarekani wakishuhudia uzinduzi wa FASDO jijini DSM hii leo

Mkuu wa wilaya ya Temeke CHIKU GALAWA akiongea na wasanii jijini dsm hii leo

Msemaji wa kampuni ya BINSLUM TYRES LIMITED, SALIM ALJAABRY akikabidhi jaketi kwa mwedesha bodaboda jijini DSM leo

FASDO YAANZA KUBURUDISHA WAKAZI WA JIJI LA DSM.


FASDO YAANZA KUBURUDISHA WAKAZI WA JIJI LA DSM.

Katika burudani,kikundi cha sanaa na michezo kinachofahamika kwa jina la FASDO kimeanza kutoa burundani kwa wakazi wa jiji la dsm katika fani ya MAIGIZO,SARAKASI na NYIMBO.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kikundi hicho mkuu wa wilaaya ya temeke CHIKU GALAWA amesema kikundi hicho kitasaidaia kufikisha ujumbe wa kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya na ukahaba katika jamii na hasa kwa vijana.(PAUSE)

Naye mkurungezi wa kikundi hicho TEDVAN CHANDE amesema lego la kuazishwa kwa kikundi hicho licha ya kutoa burudani pia kitasaidia kuibua na kuendeleza vijana katika fani ya sanaa na michezo.(PAUSE)

Katika uzinduzi huo wasanii wa kikundi hicho walionyesha vitu vyao ambayo vilikoga nyoyo za mashabiki waliohudhuria katika uzinduzi huo hebu pata burudani.UP SOUND

= =


BINSLUM yatoa msaada kwa waendesha pikipiki


Wachukuzi wa abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kama BODABODA wameaswa kutumia vifaa vya kujikinga na ajali za barabarani ili waweze kuinuka kiuchumi na kukuza vipato vyao.

Wito huo umetolewa na Msemaji wa kampuni ya BINSLUM TYRES LIMITED, SALIM ALJAABRY wakati alipokuwa akikabidhi majaketi maalum zaidi ya MIA MOJA ya kuzuia upepo kwa madereva wa pikipiki jijini DAR ES SALAAM(PAUSE)

Nao baadhi ya waendesha pikipiki hao YUNUS SAID na ADAM KASIMBA wamesema wamefurahia msaada huo na kusema utawaongezea ufanisi kwa kufanya kazi zao kwa usalama barabarani(VOX POP)

Uhaba wa vifaa vya usalama barabarani umekuwa ni chanzo cha ajali barabarani kwa waendesha pikipiki n hivyo kuweka rehani usalama na afya zao.



YANGA KUFURAHIA KOMBE


Klabu ya soka ya YANGA imekanusha habari zilioandikwa katika baadhi ya vyombo vya habari kuhusu kumuuza beki wake wa kutumainiwa NADIR HAROUB ALI katika klabu ya soka ya EL MERREIKH ya SUDAN.

Katibu Mkuu wa YANGA CELESTIN MWESIGWA amesema hakuna makubaliano yoyote ama maombi kutoka EL MERREIKH juu ya kumuhitaji beki huyo na pia amesema YANGA iko tayari kukamilisha malipo ya usajili wa mchezaji OSCAR JOSHUA kutoka RUVU SHOOTING.(PAUSE)

Amesema TATIZO lililotokea ni uongozi wa RUVU kujipanga na kuhakikisha unapata malipo ya usajili wa mchezaji huyo ambapo awali yalijitokeza makundi mawili yakitaka kulipwa kwa fedha taslimu gharama za uhamisho wa mchezaji huyo.


u-23


Kocha Mkuu wa timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23, JAMHURI KIHWELO amewita katika kikosi cha wachezaji 20 GEORGE MTEMAHANJI anayekipinga katika timu ya Modeva FC, Italia kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya SHELISHELI,michezo itakayopingwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha july 27 na 30.

Akitangaza kikosi hiyo jijini DSM hii leo kocha KIHWELO amesema amemuongeza mchezaji huyo anayesukuma ngozi nchini ITALIA ili kuimarisha kikosi chake na kubainisha kuwa michezo hiyo miwili itasaidia kuwapa wachezaji uzoefu ya michezo ya kimataifa.(PAUSE)


KIHWELO akatangaza majina ya wachezaji wengine aliowaita katika kikosi cha timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23 kuwa ni Juma Abdul (Mtibwa Sugar), Himid Mao (Azam), Babu Ally (Morani), Shabani Kado (Yanga), Salum Abubakar (Azam), Godfrey Wambura (Simba), Jabir Aziz (Azam), Seif Juma (Ilala), Khamis Mcha (Azam), Shomari Kapombe
(Simba), Jackson Wandwi (Azam).

Wengine ni Issa Rashid (Mtibwa Sugar), Thomas Ulimwengu (Humbarg SV, Ujerumani), Hussein Javu (Mtibwa Sugar), Mohamed Soud (Toto Africans), Jamal Mnyate (Azam), Awadh Juma (Moro United), Salum Kanoni (Simba), Salum Telela (Yanga), Samuel Ngasa (African Lyon) na George Mtemahanji (Modeva FC, Italia).

U-23 wataanza mozezi july 18 katika uwanja wa karume na wataondoka kwenda arusha JULY ishirini wakati wapinzani wao timu ya taifa ya SHELISHELI itawasili nchini JULY 21


Monday, July 11, 2011

Marekani yatinga nusu fainali ya kombe la dunia kwa wanawake

Timu ya taifa ya wanawae ya MAREKANI imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya mashindano ya kombe la dunia kwa wanawake baada ya kuifunga BRAZIL mabao 5-3 kwa changamoto ya mikwaju ya penati.

Timu hizo mbili zilitoka sare ya kufungana magoli MAWILI kwa MAWILI katika dakika 120 za mchezo ndipo ikatumika sheria ya penati ambayo BRAZIL walikosa penati mbili.

Balaa katika timu ya BRAZIL lilianza dakika ya pili ya mchezo huo pale beki wa BRAZIL DIANE alipojifunga mwenyewe wakati akiwa katika juhudi za kutaka kuondoa mpira kwenye hatari.

BRAZIL ilizawazisha bao hilo katika dakika ya 68 kupitia kwa mchezaji bora wa dunia kwa wanawake MARTA kwa njia ya mkwaju wa penati.

Katika muda wa dakika za nyongeza MARTA tena akaipatia BRAZIL bao la pili kwenye dakika ya 93 lakini MAREKANI walisawazisha bao hilo zikiwa zimesalia sekunde chache mpira kumalizika ABBY WAMBACH akiipatia bao la pili MAREKANI kwa kichwa na kufanya mchezo huo kuamuliwa kwa njia ya penati.

DIANE alikwenda kupiga penati ili afute makosa yake ya kujifunga lakini mambo yakazidi kuwa mabaya kwake kwani penati yake ilipanguliwa na kipa wa MAREKANI SOLO huku MAREKANI wakipata penati yao ya mwisho na kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya kombe hilo na UFARANSA siku ya JUMATANO.

Nusu fainali nyingine itakua kati ya JAPAN NA SWEDEN.

= = = = = =


MEXICO MABINGWA KOMBE LA DUNIA KWA VIJANA



Timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 ya MEXICO imenyakua kombe la dunia kwa vijana baada ya kuichapa URUGUAY kwa mabao MAWILI kwa BILA katika mchezo wa fainali ulichezwa jana katika dimba la ESTADIO AZTECA.

Mabao ya MEXICO yamefungwa na nahodha wao Antonio Briseno na Giovani Casillas na kuifanya MEXICO inyakue ubingwa huo kwa mara ya pili.

Katika mchezo huo wa jana URUGUAY walijaribu kuzawazisha mabao hayo lakini MEXICO wakishangiliwa na mashabiki wao LAKI MOJA katika uwanja wao wa nyumbani wa ESTADIO AZTECA walikaa imaara kulinda lango lao.

MEXICO kwa mara ya mwisho kunyakua ubingwa huo wa dunia kwa vijana wenye umri wa miaka 17 ilikuwa mwaka 2005,NIGERIA ndiyo inayongoza katika orodha ya kunyakua kombe hilo la vijana wenye umri chini ya miaka 17 kwani wameshatwaa kombe hilo MARA NNE.

===

Sunday, July 10, 2011

CHANNEL O AFRICA INTRODUCES LEE KASUMBA!


CHANNEL O AFRICA INTRODUCES LEE KASUMBA!

July 2011

“Music is my passion. Africa is my heart!”

With just two sentences, Leslie “Lee” Kasumba demonstrates why M-Net Africa is so thrilled to welcome the dynamic young media star to its CHANNEL O AFRICA team. A successful TV host, entertainment personality, radio presenter and producer, Uganda’s Lee Kasumba is no stranger to the spotlight but that spotlight is about to get a whole lot brighter!

“Africa is the soundtrack to my life, the sounds, the rhythms, the beats of the continent, that’s my music, that’s my thing. So I was delighted when I got the chance to join this iconic African music brand,” says Lee on her appointment as CHANNEL O Africa’s new Channel Manager, talent seeker and African champion.

Tasked with growing and diversifying CHANNEL O’s African portfolio, Lee is enthusiastic about taking the already well-established, well-loved brand to the next level. “Channel O was the first of its kind in Africa, so it was the pioneer for music TV on the continent. That’s a fact. Another fact is that with its proudly African roots and its African focus it really should set the pace when it comes to the African music scene. That’s my job now and it’s very exciting!”

Just a few months into her new role and the energetic Lee has already launched several innovative on-air pieces. The first of these is the breakout Africa Dreaming promos which feature both established African artists and rising stars sharing their vision for their home continent with audiences.

“Our singers, songwriters and musicians, they are the voice of our generation, of Africa. So we thought it would be great for them to tell us their visions, hopes, dreams, aspirations. It’s what drives their music so we feel fans should see it. We’re delighted with the results – it’s inspirational, heartfelt and uplifting. They have such dreams for the continent, it’s amazing. And they were all so supportive.”

Artists who took up the call from Channel O were HHP (South Africa), Juacali (Kenya), P Square (Nigeria), Crisis (Zambia), D Black (Ghana), MI (Nigeria), Navio (Uganda), Nonini (Kenya), Proverb (South Africa) and Wyre (Kenya) to name a few.

Next Kasumba took on the challenge of showcasing new artists with a short 5-minute series simply entitled Introducing that focuses on 2 new artists monthly and began by profiling Uganda’s Keko and Nigeria’s Muna.“Everyone involved in the African music industry understands how important new talent is. Producers, artists, writers…everyone wants to know what’s the next new trend; the hot new star. So a short series that introduces talent from specific countries to the entire continent, that’s a must do.”

Also on Kasumba’s agenda – the Channel O Video Music Awards which are coming up later in the year.

“Again, the awards were another first by Channel O in the market, so now the aim is to make these awards even bigger, better and to encourage participation from more artists across Africa. It’s their awards ultimately, it celebrates them, showcases them. So the more artists who participate, the better it is for Africa’s music industry to improve, strengthen and innovate.”

With several years experience in the industry, Lee holds an impressive track record in entertainment.

A former producer/DJ on YFM in South Africa, she hosted the TV show Sprite Emcee Africa. Invited to Norway for the Think Mental Fashion event, she participated as a speaker and concert host. She also hosted the Basketball Beyond Borders event, an NBA project for young African basketball players. A keynote speaker with Chuck D and Dead Prez at the Baobab Youth Conference in Cape Town, she’s interviewed, among others, Damian Marley, K'naan, Ludacris, Snoop Dogg, Missy Elliot, Eve and Pras of the Fugees.

She’s also interviewed CNN correspondent, author and civil rights activist Charlayne Hunter-Gault in her home for YMAG and Oprah Winfrey in an impromptu interview for TV. Lee, the longest serving editor of youth magazine YMAG, also graced its cover alongside former South African president Thabo Mbeki. A part of the judging panel at the South African Music Awards and the Hype Awards, she’s also worked with Africa Unsigned, which provides opportunities for aspiring African musicians. In 2009 she hosted Afro-Picks, unearthing the history and present state of African music for the international Red Bull Music Academy Radio.

Having been invited to speak on youth issues for the UN’s Habitat project, she attended events in Vancouver (Canada), Madrid (Spain) and Johannesburg (South Africa). A regular contributor to BBC World Have Your Say and BBC World Service, Lee worked as a freelance writer for the likes of Dazed and Confused Japan where she penned a 16-page editorial on HIV/Aids. She’s also a contributing editor to Ghetto Radio, a Netherlands/Kenya online magazine.

Commenting on Lee’s appointment at Channel O, M-Net Africa Managing Director Biola Alabi says, “M-Net is very excited to have Lee on board. She’s committed and focused and I am confident that Channel O audiences will directly benefit from her new role.”

Ends.


warembo wa Miss Higher learning wakiwa kwenye pozi kabla ya shindano

Warembo na waandishi habari wamechuna Dar