Friday, February 5, 2010

Hivi kweli Tanzania itaendelea katika michezo kama kila kiongozi wa chama cha michezo atailalamikia serikali juu ya ufandhili.

Cha mhimu viongozi wa michezo popote pale walipo wanapaswa kuwa na mpango mkakati wa kuhakikisha vyama vyao vinajiendesha vyenyewe ili kupiga hatua katika maendeleo.tutafakari kwa makini.

No comments:

Post a Comment