Monday, March 8, 2010

RIADHA

Nilibahatika kuhudhuria mashindano ya mwaka huu ya Kili Marathon,nasikitika kusema kwamba inatisha kuona Wakenya wanaendelea kutamba katika riadha na sisi tukiendelea kusuasua, sijui hali hii itaisha lini,na swali la kujiuliza ni je watanzania tupo tayari kushindana katika riadha? je vyama husika vinafanya nini kuhakikisha mchezo huu unakuja juu kama ilivyokua miaka ya 1970

No comments:

Post a Comment