Wednesday, April 14, 2010

Wachezaji wa simba


Wachezaji wa Simba kutoka kulia chombo,banka,kaseja wakitoka uwanjani wakati wa mapumziko katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom dhidi Azam.Simba iliibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja hivyo kutangazwa mabingwa wa msimu wa 2009/2010

No comments:

Post a Comment