Saturday, April 17, 2010

Vijana baada ya mazoezi


Vijana hawa chini ya umri wa miaka 7 baada ya kumaliza mazoezi katika uwanja wa Karume jijini DSM leo,wanaonekana wanahamu ya kufika mbali na hasa kuchezee timu ya taifa, Taifa Stars,wadau tuwape moyo ili watimize ndoto zao.

No comments:

Post a Comment