MAKINIKA
it is for sport and all entertainment stories
Saturday, April 17, 2010
Vijana baada ya mazoezi
Vijana hawa chini ya umri wa miaka 7 baada ya kumaliza mazoezi katika uwanja wa Karume jijini DSM leo,wanaonekana wanahamu ya kufika mbali na hasa kuchezee timu ya taifa, Taifa Stars,wadau tuwape moyo ili watimize ndoto zao.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment