Saturday, June 19, 2010

Kombe la dunia Afrika ya Kusini

Kulikoni jamani timu za Afrika zinekuwa dhaifu kiasi hicho kiasi kwamba wameshindwa kutumbukiza mpira wavuni hata katika nafasi zile za wazi? kwa mfano GHANA dhidi ya Australia,au ndiyo kusema soka la Afrika bado lipo usingizini?

No comments:

Post a Comment