Saturday, June 26, 2010

Timu ya taifa ya mpira wa Meza mazoezini Dar


wachezaji wa timu ya taifa ya mpira wa Meza wakiwa mazoezini katika viwanja vya kisutu jijini Dar es Salaam kujiandaa kucheza michezo miwili ya kirafiki na timu za taifa za Uganda na Zambia mwishoni mwa mwezi Juni.

No comments:

Post a Comment