Thursday, July 1, 2010

NGORONGORO HEROES KIBARUANI


Kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka ishirini Ngorongoro Heroes RODRIGO STROKELER na msaidizi wake ADOLF RISHARD wakitoa mawaidha kwa mshambuliaji wa timu hiyo THOMAS ULIMWENGU wakati wa mazoezi katika uwanja wa Karume,ULIMWENGU anategemewa kuiongoza safu ya ushambuliaji ya NGORONGORO HEROES dhidi ya IVORY COAST mwishoni mwa mwezi huu katika kampeni ya kuwania kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika yatakayofanyika mwaka huu.

No comments:

Post a Comment