Wednesday, October 10, 2012


JOKATE azindua ubunifu mpya wa mitindo.
MWANAMITINDO na MBUNIFU nchini JOKATE MWEGELO amezindua aina nyingine ya mitindo ya NYWELE inayokwenda sambamba na mitindo ya ubunifu wa nguo.
JOKETI ambaye pia aliwahi kuwa mshindi wa pili katika shindano la Taifa kwa mwaka 2006 amesema nia yake ni kutaka kutanua wigo wa ubunifu kwa kutumia fani ya urembo.
Akizundua kampuni hiyo JOKATE akaeleza kwa nini ameiita jina la KIDOTI.
Kisha akaeleza madhumuni  ya kuazisha kampuni  hiyo katika tasinia ya urembo,ubunifu na mitindo hapa nchini.
Baada ya hapo warembo wakajimwanga jukwaani kuonyesha mitindo ya nywele

No comments:

Post a Comment