JOKATE
azindua ubunifu mpya wa mitindo.
MWANAMITINDO na MBUNIFU nchini JOKATE MWEGELO amezindua aina
nyingine ya mitindo ya NYWELE inayokwenda sambamba na mitindo ya ubunifu wa
nguo.
JOKETI ambaye pia aliwahi kuwa mshindi wa pili katika
shindano la Taifa kwa mwaka 2006 amesema nia yake ni kutaka kutanua wigo wa
ubunifu kwa kutumia fani ya urembo.
Akizundua kampuni hiyo JOKATE akaeleza kwa nini ameiita jina
la KIDOTI.
Kisha akaeleza madhumuni
ya kuazisha kampuni hiyo katika
tasinia ya urembo,ubunifu na mitindo hapa nchini.
Baada ya hapo warembo wakajimwanga jukwaani kuonyesha
mitindo ya nywele
No comments:
Post a Comment