Thursday, February 24, 2011

Tenga atinga CAF


Rais wa TFF, Leodegar Tenga akipongezwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Uganda (FUFA) Lawrence Mulindwa mara baada ya kuchaguliwa Februari 23 mwaka huu kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Afrika (CAF) katika uchaguzi uliofanyika jijini Khartoum, Sudan.

No comments:

Post a Comment