Mshambuliaji chipukizi wa timu ya taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 Thomas Ulimwengu kulia akipewa mawaidha na makocha wake,kocha msaidizi Mohamed Adolf Rishard kushoto na Kocha mkuu wa timu hiyo Mbrazil Rodrigo Strockeler kwenye uwanja wa karume jijini DSM hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment