Monday, March 8, 2010

Kazi ni kazi mradi mkono uende kinywani


Mkazi mmoja ambaye jina lake halikujulikana akifuta kioo cha daladala aina ya DCM katika kituo cha mwenge,ujira wake ni shilingi mia moja ambayo si haba akifanya kazi hiyo kwa kutwa nzima.

No comments:

Post a Comment