Tuesday, November 9, 2010

VYUO VIKUU NA MZIKI


Katika burundani wanafunzi wa vyuo vikuu vilivyopo katika mikoa ya DSM, MOROGORO na DODOMA wanatarajiwa kupata burundani ya mziki kutoka kwa wanamziki mahiri wa kimataifa na Afrika ya mashariki kwenye tamasha la STR8MUZIK FESTIVAL litakalofanyika katika tarehe za 13, 20 na 27 mwezi huu.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha hilo kwa mwaka huu MENEJA MSAIDIZI wa singara ya SM ISAMBA KASAKA amesema wanafunzi wa vyuo vikuu wategemee kupata burundani murua itakayokonga nyoyo zao mwaka huu.

KASAKA amewataja wanamziki wakakao jimwaka jukwaani kutumbuiza katika tamasha hilo kuwa ni wanamziki wa kimataifa T PAIN,ELEPHANT MAN,GYPTIAN na MIMS wakati kutoka Afrika ya mashariki ni MICHAEL ROSS kutoka UGANDA,FID Q,MWANA FA,JOH MAKINI,CHEGE na SAM WA Ukweli.


No comments:

Post a Comment