Monday, December 20, 2010

Waadishi siku walipokutana wao kwa wao


wachezaji wa timu ya waandishi habari wa michezo wa TASWA wakiwa katika picha ya pamoja na wezao wa Afrika ya mashariki na kati baada ya mchezo wao wa kirafiki ulichezwa kwenye viwanja vya GYKHANA jijini Dsm.

Katika mchezo huo TASWA ilishinda kwa mabao manane kwa moja.waandishi hao walikua nchini kuripoti mashindano ya CECAFA TUSKER CHALLENGE CUP ambapo KILI STARS ubingwa kwa kuwafunga Ivory Coast kwa bao moja kwa bila

No comments:

Post a Comment