.jpg)
Afisa Tawala wa chama cha gofu Tanzania TGU, SOPHIA NYANJERA amesema mashindano hayo yamepangwa kufanyika jumamosi wiki hii katika viwanja vya GYMKHANA jijini DSM.
Mashindano hayo yanatumiwa na wachezaji wa timu ya taifa kujinoa kabla ya kwenda kushiriki mashindano ya dunia yaliyopangwa kufanyika nchini ARGERTINA mwisho wa mwezi OCTOBA
No comments:
Post a Comment