Tuesday, July 26, 2011

J SISTERS kuzindua ALBUM


Kundi la Muziki wa Injili la J SISTERS linatarajia Kuzindua albamu yao inayojulikana kama CHUKUA USHINDI Jumapili hii katika ukumbi wa DIAMOND JUBILEE.
Kiongozi wa kundi hilo JENNIFER MSHAMA amesema wamejiandaa kutoa burudani tosha katika uzinduzi huo ambapo mgeni rasmi atakuwa Mke wa RAIS MAMA SALMA KIKWETE
MSHAMA amesema Uzinduzi wa albam hiyo utasindikizwa na waimbaji wengine kama vile FROLA MBASHA na BONNY MWAITEGE.
Kundi hilo la J SISTERS ambalo linaundwa na wanamuziki ndugu ambao ni JENNFFER, JESSICAR , JAQUILLINE na JULIET kwa pamoja walionyesha utaalam wao katika kupangilia ala za sauti
= =

No comments:

Post a Comment