
vifaa vya ligi kuu hadharani
FASDO YAANZA KUBURUDISHA WAKAZI WA JIJI LA DSM.
Katika burudani,kikundi cha sanaa na michezo kinachofahamika kwa jina la FASDO kimeanza kutoa burundani kwa wakazi wa jiji la dsm katika fani ya MAIGIZO,SARAKASI na NYIMBO.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kikundi hicho mkuu wa wilaaya ya temeke CHIKU GALAWA amesema kikundi hicho kitasaidaia kufikisha ujumbe wa kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya na ukahaba katika jamii na hasa kwa vijana.(PAUSE)
Naye mkurungezi wa kikundi hicho TEDVAN CHANDE amesema lego la kuazishwa kwa kikundi hicho licha ya kutoa burudani pia kitasaidia kuibua na kuendeleza vijana katika fani ya sanaa na michezo.(PAUSE)
Katika uzinduzi huo wasanii wa kikundi hicho walionyesha vitu vyao ambayo vilikoga nyoyo za mashabiki waliohudhuria katika uzinduzi huo hebu pata burudani.UP SOUND
= =
Wachukuzi wa abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kama BODABODA wameaswa kutumia vifaa vya kujikinga na ajali za barabarani ili waweze kuinuka kiuchumi na kukuza vipato vyao.
Wito huo umetolewa na Msemaji wa kampuni ya BINSLUM TYRES LIMITED, SALIM ALJAABRY wakati alipokuwa akikabidhi majaketi maalum zaidi ya MIA MOJA ya kuzuia upepo kwa madereva wa pikipiki jijini DAR ES SALAAM(PAUSE)
Nao baadhi ya waendesha pikipiki hao YUNUS SAID na ADAM KASIMBA wamesema wamefurahia msaada huo na kusema utawaongezea ufanisi kwa kufanya kazi zao kwa usalama barabarani(VOX POP)
Uhaba wa vifaa vya usalama barabarani umekuwa ni chanzo cha ajali barabarani kwa waendesha pikipiki n hivyo kuweka rehani usalama na afya zao.
Klabu ya soka ya YANGA imekanusha habari zilioandikwa katika baadhi ya vyombo vya habari kuhusu kumuuza beki wake wa kutumainiwa NADIR HAROUB ALI katika klabu ya soka ya EL MERREIKH ya SUDAN.
Katibu Mkuu wa YANGA CELESTIN MWESIGWA amesema hakuna makubaliano yoyote ama maombi kutoka EL MERREIKH juu ya kumuhitaji beki huyo na pia amesema YANGA iko tayari kukamilisha malipo ya usajili wa mchezaji OSCAR JOSHUA kutoka RUVU SHOOTING.(PAUSE)
Amesema TATIZO lililotokea ni uongozi wa RUVU kujipanga na kuhakikisha unapata malipo ya usajili wa mchezaji huyo ambapo awali yalijitokeza makundi mawili yakitaka kulipwa kwa fedha taslimu gharama za uhamisho wa mchezaji huyo.
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23, JAMHURI KIHWELO amewita katika kikosi cha wachezaji 20 GEORGE MTEMAHANJI anayekipinga katika timu ya Modeva FC, Italia kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya SHELISHELI,michezo itakayopingwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha july 27 na 30.
Akitangaza kikosi hiyo jijini DSM hii leo kocha KIHWELO amesema amemuongeza mchezaji huyo anayesukuma ngozi nchini ITALIA ili kuimarisha kikosi chake na kubainisha kuwa michezo hiyo miwili itasaidia kuwapa wachezaji uzoefu ya michezo ya kimataifa.(PAUSE)
KIHWELO akatangaza majina ya wachezaji wengine aliowaita katika kikosi cha timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23 kuwa ni Juma Abdul (Mtibwa Sugar), Himid Mao (Azam), Babu Ally (Morani), Shabani Kado (Yanga), Salum Abubakar (Azam), Godfrey Wambura (Simba), Jabir Aziz (Azam), Seif Juma (Ilala), Khamis Mcha (Azam), Shomari Kapombe
(Simba), Jackson Wandwi (Azam).
Wengine ni Issa Rashid (Mtibwa Sugar), Thomas Ulimwengu (Humbarg SV, Ujerumani), Hussein Javu (Mtibwa Sugar), Mohamed Soud (Toto Africans), Jamal Mnyate (Azam), Awadh Juma (Moro United), Salum Kanoni (Simba), Salum Telela (Yanga), Samuel Ngasa (African Lyon) na George Mtemahanji (Modeva FC, Italia).
U-23 wataanza mozezi july 18 katika uwanja wa karume na wataondoka kwenda arusha JULY ishirini wakati wapinzani wao timu ya taifa ya SHELISHELI itawasili nchini JULY 21
Timu ya taifa ya wanawae ya MAREKANI imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya mashindano ya kombe la dunia kwa wanawake baada ya kuifunga BRAZIL mabao 5-3 kwa changamoto ya mikwaju ya penati.
Timu hizo mbili zilitoka sare ya kufungana magoli MAWILI kwa MAWILI katika dakika 120 za mchezo ndipo ikatumika sheria ya penati ambayo BRAZIL walikosa penati mbili.
Balaa katika timu ya BRAZIL lilianza dakika ya pili ya mchezo huo pale beki wa BRAZIL DIANE alipojifunga mwenyewe wakati akiwa katika juhudi za kutaka kuondoa mpira kwenye hatari.
BRAZIL ilizawazisha bao hilo katika dakika ya 68 kupitia kwa mchezaji bora wa dunia kwa wanawake MARTA kwa njia ya mkwaju wa penati.
Katika muda wa dakika za nyongeza MARTA tena akaipatia BRAZIL bao la pili kwenye dakika ya 93 lakini MAREKANI walisawazisha bao hilo zikiwa zimesalia sekunde chache mpira kumalizika ABBY WAMBACH akiipatia bao la pili MAREKANI kwa kichwa na kufanya mchezo huo kuamuliwa kwa njia ya penati.
DIANE alikwenda kupiga penati ili afute makosa yake ya kujifunga lakini mambo yakazidi kuwa mabaya kwake kwani penati yake ilipanguliwa na kipa wa MAREKANI SOLO huku MAREKANI wakipata penati yao ya mwisho na kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya kombe hilo na UFARANSA siku ya JUMATANO.
Nusu fainali nyingine itakua kati ya JAPAN NA SWEDEN.
= = = = = =
Timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 ya MEXICO imenyakua kombe la dunia kwa vijana baada ya kuichapa URUGUAY kwa mabao MAWILI kwa BILA katika mchezo wa fainali ulichezwa jana katika dimba la ESTADIO AZTECA.
Mabao ya MEXICO yamefungwa na nahodha wao Antonio Briseno na Giovani Casillas na kuifanya MEXICO inyakue ubingwa huo kwa mara ya pili.
Katika mchezo huo wa jana URUGUAY walijaribu kuzawazisha mabao hayo lakini MEXICO wakishangiliwa na mashabiki wao LAKI MOJA katika uwanja wao wa nyumbani wa ESTADIO AZTECA walikaa imaara kulinda lango lao.
MEXICO kwa mara ya mwisho kunyakua ubingwa huo wa dunia kwa vijana wenye umri wa miaka 17 ilikuwa mwaka 2005,NIGERIA ndiyo inayongoza katika orodha ya kunyakua kombe hilo la vijana wenye umri chini ya miaka 17 kwani wameshatwaa kombe hilo MARA NNE.
===
CHANNEL O AFRICA INTRODUCES LEE KASUMBA!
July 2011
“Music is my passion. Africa is my heart!”
With just two sentences, Leslie “Lee” Kasumba demonstrates why M-Net Africa is so thrilled to welcome the dynamic young media star to its CHANNEL O AFRICA team. A successful TV host, entertainment personality, radio presenter and producer, Uganda’s Lee Kasumba is no stranger to the spotlight but that spotlight is about to get a whole lot brighter!
“Africa is the soundtrack to my life, the sounds, the rhythms, the beats of the continent, that’s my music, that’s my thing. So I was delighted when I got the chance to join this iconic African music brand,” says Lee on her appointment as CHANNEL O Africa’s new Channel Manager, talent seeker and African champion.
Tasked with growing and diversifying CHANNEL O’s African portfolio, Lee is enthusiastic about taking the already well-established, well-loved brand to the next level. “Channel O was the first of its kind in Africa, so it was the pioneer for music TV on the continent. That’s a fact. Another fact is that with its proudly African roots and its African focus it really should set the pace when it comes to the African music scene. That’s my job now and it’s very exciting!”
Just a few months into her new role and the energetic Lee has already launched several innovative on-air pieces. The first of these is the breakout Africa Dreaming promos which feature both established African artists and rising stars sharing their vision for their home continent with audiences.
“Our singers, songwriters and musicians, they are the voice of our generation, of Africa. So we thought it would be great for them to tell us their visions, hopes, dreams, aspirations. It’s what drives their music so we feel fans should see it. We’re delighted with the results – it’s inspirational, heartfelt and uplifting. They have such dreams for the continent, it’s amazing. And they were all so supportive.”
Artists who took up the call from Channel O were HHP (South Africa), Juacali (Kenya), P Square (Nigeria), Crisis (Zambia), D Black (Ghana), MI (Nigeria), Navio (Uganda), Nonini (Kenya), Proverb (South Africa) and Wyre (Kenya) to name a few.
Next Kasumba took on the challenge of showcasing new artists with a short 5-minute series simply entitled Introducing that focuses on 2 new artists monthly and began by profiling Uganda’s Keko and Nigeria’s Muna.“Everyone involved in the African music industry understands how important new talent is. Producers, artists, writers…everyone wants to know what’s the next new trend; the hot new star. So a short series that introduces talent from specific countries to the entire continent, that’s a must do.”
Also on Kasumba’s agenda – the Channel O Video Music Awards which are coming up later in the year.
“Again, the awards were another first by Channel O in the market, so now the aim is to make these awards even bigger, better and to encourage participation from more artists across Africa. It’s their awards ultimately, it celebrates them, showcases them. So the more artists who participate, the better it is for Africa’s music industry to improve, strengthen and innovate.”
With several years experience in the industry, Lee holds an impressive track record in entertainment.
A former producer/DJ on YFM in South Africa, she hosted the TV show Sprite Emcee Africa. Invited to Norway for the Think Mental Fashion event, she participated as a speaker and concert host. She also hosted the Basketball Beyond Borders event, an NBA project for young African basketball players. A keynote speaker with Chuck D and Dead Prez at the Baobab Youth Conference in Cape Town, she’s interviewed, among others, Damian Marley, K'naan, Ludacris, Snoop Dogg, Missy Elliot, Eve and Pras of the Fugees.
She’s also interviewed CNN correspondent, author and civil rights activist Charlayne Hunter-Gault in her home for YMAG and Oprah Winfrey in an impromptu interview for TV. Lee, the longest serving editor of youth magazine YMAG, also graced its cover alongside former South African president Thabo Mbeki. A part of the judging panel at the South African Music Awards and the Hype Awards, she’s also worked with Africa Unsigned, which provides opportunities for aspiring African musicians. In 2009 she hosted Afro-Picks, unearthing the history and present state of African music for the international Red Bull Music Academy Radio.
Having been invited to speak on youth issues for the UN’s Habitat project, she attended events in Vancouver (Canada), Madrid (Spain) and Johannesburg (South Africa). A regular contributor to BBC World Have Your Say and BBC World Service, Lee worked as a freelance writer for the likes of Dazed and Confused Japan where she penned a 16-page editorial on HIV/Aids. She’s also a contributing editor to Ghetto Radio, a Netherlands/Kenya online magazine.
Commenting on Lee’s appointment at Channel O, M-Net Africa Managing Director Biola Alabi says, “M-Net is very excited to have Lee on board. She’s committed and focused and I am confident that Channel O audiences will directly benefit from her new role.”
Ends.