Thursday, July 1, 2010

Maximo atuaga watanzania


Kocha mkuu wa timu ya taifa Taifa Stars Marcio Maximo ambaye amemaliza muda wake akiwa kwenye picha ya pamoja na waandishi wa habari wa michezo wa TBC,kulia ni Malyo Njedengwa na kushoto ni Mbozi Katala

No comments:

Post a Comment