Wednesday, July 21, 2010

TBL yamwaga vifaa kwa Simba na Yanga


Msimu mpya wa ligi kuu Tanzania bara,hatimaye timu za Simba na Yanga zapewa vifaa na mdhamini wao kampuni ya bia ya TBL vyenye thamani ya shilingi milioni 64 tayari kwa msimu wa ligi ya kuu tanzania bara ambao unaanza kutimua vumbi AUGUST 21 kote nchini

No comments:

Post a Comment