Wednesday, July 14, 2010

Heka heka za usajili


Kijana anayesukuma soka la kulipwa huko Marekani DENIS GODFREY asema soka la Tanzania limebadilika ndio maana anapenda kusajiliwa Yanga au timu yeyote ya ligi kuu lego lake pia ni kuichezea TAIFA STARS.

No comments:

Post a Comment