Tuesday, July 27, 2010

USAFI DAR


Hii ni garaji bubu katika eneo la mwembechai,vipi usalama wa mazingira katika eneo lake? kwa bali ni Hotel ya ITUMBI ambayo pia wachezaji wa timu ya taifa ya vijana NGORONGORO HEROES waliweka kambi kabla ya kuivaa Ivory Coast mwishoni mwa wiki

No comments:

Post a Comment