Thursday, July 15, 2010

Tanzania kufaindika na finali za kombe la dunia


Shirikisho la soka nchini TFF limebainisha kuwa Tanzania itafaidika na michuano ya kombe la Dunia iliyomalizika nchini Afrika Kusini katika Nyanja za ufundi na mbinu za kisoka.Rais wa TFF LEODGAR TENGA amesema alipokuwa nchini Afrika Kusini alikutana na viongozi wa soka wa mataifa mbalimbali ambao wameonesha nia ya kushirikiana na Tanzania kuhakikisha soka la tanzania linasonga mbele hasa kuhakikisha vijana wengi wanacheza soka la kulipwa Ulaya kwa manufaa ya TAIFA STARS

No comments:

Post a Comment