Monday, July 26, 2010

Ujenzi ndani ya kariakoo


Mafundi na vibarua katika eneo la soko la kariakoo wakimwaga zege katika jengo la ghorofa linaloendelea kujengwa.magorofa mengi yamekua yakiendelea kujengwa katika eneo hilo mengi yakiwa ni ya kibiashara.

No comments:

Post a Comment