Wednesday, July 14, 2010

KINYANG'ANYIRO CHA UCHAGUZI YANGA


Aliyekua mgombea makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga Ayabu Nyezi akiwa uso kwa uso na Davis Mosha muda mfupi baada ya kujitoa katika kinyang'anyiro hicho na kumpisha Mosha kwa lego la kuleta umoja katika klabu hiyo.Uchanguzi wa Yanga unatarajiwa kufanyika JULY 18.

No comments:

Post a Comment