Thursday, July 15, 2010

NGUMI MAZOEZINI


Wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi waendelea na mazoezi katika uwanja wa ndani wa taifa.
timu hiyo ipo kambini kwa muda sasa ikijiweka sawa na mashindano ya Jumuiya ya Madola yatakayofanyika india mwezi OCTOBA.

No comments:

Post a Comment