Thursday, July 1, 2010

NGORONGORO HEROES KIBARUANI


Kocha mkuu wa Ngorongoro Heroes Rodrigo akitangaza kikosi cha NGORONGORO HEROES hii leo katika ofisi za TFF jijini DSM,kulia kwake ni Afisa habari wa TFF Florian Kaijage.
Ngorongoro heroes kuingia kambani siku ya jumataa ya wiki ijayo tayari kujiandaa na mchezo dhidi ya IVORY COAST.

No comments:

Post a Comment