Thursday, July 15, 2010

Mwakalebele baibai TFF


Ajira ya katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini TFF FREDRICK MWAKALEBELA yafikia ukingoni na sasa bosi mpya ajira yake kutangazwa JULY 17.katika picha kulia ni Rais wa TFF LEODIGAR TENGA na kushoto kwake ni katibu aliyemaliza muda wake FREDRICK MWAKALEBELA,Mwakalebela ametangaza nia ya kungombea Ubunge jimbo la IRINGA mjini.

No comments:

Post a Comment