Sikukuu ya kukumbuka mashujaa ilifanyika jana jijini dsm huku Amir Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Rais Jakaya Kikwete akipokea saluti kutoka kwa askari cha jeshi la wanachi wa Tanzania.
Sherehe hizo zilifanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini DSM hiyo jana.
No comments:
Post a Comment