Katika masumbwi, mambondia 100 wa ngumi za kulipwa watahudhuria semina ya siku moja juu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali na semina hiyo ya siku moja ita fanyika siku ya ijumaa jijini DSM .
Mratibu wa semina hiyo RAIS wa TPO YASIN ABDALLAH (ustadhi) amesema mafunzo hayo yatajikita katika kuangalia magonjwa kama vile ukimwi na pia athari zitokanazo na madawa ya kulevya.
No comments:
Post a Comment