Tuesday, August 24, 2010

Aliyekuwa Kanali wa jeshi la kujenga taifa kikosi cha TAU MGULANI na mwenyekiti wa shirikisho la mpira wa mikono AFRIKA MASHARIKI NA KATI CECILIUS FUSI ambaye amefariki dunia jumapili iliyopita mwili wake unatarajiwa kuzikwa kesho katika makaburi ya kinondoni Jijini DSM.

No comments:

Post a Comment