Wednesday, August 25, 2010


WAANDAAJI wa shindano la kutafuta nyota wa muziki katika shindano la BONGO STAR SEARCH (BSS) wamepatiwa kiasi cha shilingi MILIONI MIA MOJA na kampuni ya bia TANZANIA (TBL).
Wakati wa hafla hiyo meneja wa kinywaji cha KILIMANJARO, GEORGE KAVISHE na mratibu wa mashindano hayo RITA PAULSEN kwa nyakati tofauti wamesema mashindano ya mwaka huu yatakuwa na mabidiliko tofauti na miaka ya nyuma.
Mashindano ya kutafuta nyota wa muziki ya BONGO STAR SEARCH hufanyika kila mwaka na mshindi wa mwaka jana ni PASCHAL CASIAN kutoka MWANZA.
== == =

No comments:

Post a Comment