Wednesday, August 25, 2010


MWILI wa aliyekuwa mwenyekiti wa shirikisho la mpira wa mikono kwa nchi za Afrika mashariki na kati (ECAHF) CECILIUS FUSI na Kanali wa jeshi la kujenga taifa kikosi cha TAU MGULANI umezikwa katika makaburi ya KINONDONI Jijini DSM.
Wakati wa mazishi yake FUSI alizikwa kwa taratibu zote za kijeshi
Marehemu atakumbukwa kwa kuhimiza michezo ambapo kabla ya kifo chake alikuwa mwenyekiti wa Shirikisho la Mpira wa Mikono Afrika Mashariki na Kati.Marehemu amecha mke DORIS FUSI pamoja na watoto TISA

No comments:

Post a Comment