Tuesday, August 24, 2010


Mkurungezi wa mtendaji wa TTB, ALOYCE NZUKI amesema bodi ya Utalii Tanzania katika harakati zake za kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania kimataifa imenunua nafasi ya kutangaza kwenye viwanja vya nyumbani vya timu sita zilizopo kwenye ligi kuu ya UINGEREZA kwa michezo 114 kuanzia AUGOSTI 14 hadi MAY 22 mwakani

No comments:

Post a Comment